Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila itaendelea kuwajengea uwezo wataalam kwani lengo ni kuifanya Muhimbili Mloganzila kuwa kituo kikubwa katika huduma za upasuaji rekebishi katika Ukanda wa Afrika Mashariki.

Muhimbili National Hospital – Mloganzila
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila itaendelea kuwajengea uwezo wataalam kwani lengo ni kuifanya Muhimbili Mloganzila kuwa kituo kikubwa katika huduma za upasuaji rekebishi katika Ukanda wa Afrika Mashariki.